Friday, January 12, 2018

SHEREHE ZA MAPINDUZI ZANZIBAR ZAFANA

Rais wa Nzanzibar Dr Shein akiwasili katika sherehe za mapinduzi zilizofanyika leo 12/01/18

Rais wa Zanzibar akiwapungia mkono wananchi waliohudhuria sherehe za mapinduzi leo 12/01/2018

Baadhi ya wananchi waliohudhuria katika sherehe za mapinduzi 

Rais Magufuli , Mama Samia pamoja na waziri mkuu Kassim Majaliwa nao ni baadhi ya viongozi walio hudhuria sherehe hizo

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE NAMNA YA KUENDESHA BIASHARA YAKO HAPA KWA HUYU NDUGU.

KAMA UNA NDOTO YA  # KUJIJIRI  AU KUFANYA  # BIASHARA  USIOGOPE ILA JIFUNZE KIDOGO HAPA! Naitwa Andrea. Na nakutana na watu we...