Friday, January 12, 2018

SHEREHE ZA MAPINDUZI ZANZIBAR ZAFANA

Rais wa Nzanzibar Dr Shein akiwasili katika sherehe za mapinduzi zilizofanyika leo 12/01/18

Rais wa Zanzibar akiwapungia mkono wananchi waliohudhuria sherehe za mapinduzi leo 12/01/2018

Baadhi ya wananchi waliohudhuria katika sherehe za mapinduzi 

Rais Magufuli , Mama Samia pamoja na waziri mkuu Kassim Majaliwa nao ni baadhi ya viongozi walio hudhuria sherehe hizo

JIFUNZE NAMNA YA KUENDESHA BIASHARA YAKO HAPA KWA HUYU NDUGU.

KAMA UNA NDOTO YA  # KUJIJIRI  AU KUFANYA  # BIASHARA  USIOGOPE ILA JIFUNZE KIDOGO HAPA! Naitwa Andrea. Na nakutana na watu we...