Showing posts with label Health. Show all posts
Showing posts with label Health. Show all posts

Wednesday, February 7, 2018

DALILI ZA HATARI KWA MTOTO WAKO

zijue dalili hizi za hatari kwa mtoto wako

Mtoto mwenye dalili mojawapo zifuatazo anahitaji matibabu haraka na uangalizi wakati wote. Akipatiwa huduma, anaweza taratibu kupata nafuu. Kama ana dalili zifuatazo zaidi ya moja, au iwapo dalili yoyote itazidi kuwa mbaya, mtoto yu hatarini:
  • Kupungukiwa na maji mwilini. Kukosa mkojo, mdomo kukauka, au utosi kwenye kichwa cha mtoto kubonyea ndani ni dalili za kupungukiwa na maji mwilini-tatizo linalotishia uhai wa mtoto. Angalia chini -sehemu ya kupungukiwa na maji.
  • Mashambulio ya ghafla kwa mtoto ambayo hujumuisha kupoteza fahamu na kurusha maungo ya mwili au kutetemeka- kawaida huambatana na homa kali.
  • Ulegevu mwilini. Udhaifu na uchovu wa mara kwa mara mwilini siyo hali ya kawaida na wala dalili ya afya nzuri. Kukosa hamu ya kula na kuchanganyikiwa kimawazo hasa ni dalili zinazoibua wasiwasi. Kuugua sana ugonjwa wowote ule huweza kusababisha tatizo hili.
  • Kupumua kwa shida au kupumua haraka haraka. Hizi ni dalili za kichomi au nimonia  ugonjwa ambao ni hatari sana kwa watoto wadogo.

JINSI YA KUMSAIDIA MTOTO MWENYE MAFUA


Namna unavyoweza kumsaidia mtoto mwenye mafua.

Punguza speed ya kutokwa na makamasi kwanza.
Mtoto kuwa na mafua huwa ni kitu cha kawaida, na kugundua utaanza kuona anatokwa na makamasi muda wote na hizi dalili unaweza kuziona zinadumu kwa muda wa wiki moja au mbili basi ukiona hivyo basi ujue mtoto wako ana mafua.
Makamasi kwanza yataanza kuwa ya kawaida mepesi tu alafu baadae yataanza kuwa ya njano.
Jinsi ya kupunguza spidi ya kutokwa na makamasi jaribu kumpa maji yenye chumvi huwa yanasaidia kupunguza speed ya kutokwa na makamasi kwa wingi.
Msafishe pua yake.
Hii ni nzuri kama ukimuogesha mtoto wako kila mara pale anapokuwa amechafuka. Mpikie supu yoyote iwe ya ngombe au ya kuku hii nayo huwa inasaidia sana. Kama ukiona mtoto wako anatakiwa kumuona daktari na kupata dawa basi muone daktari….sio kwenda kuchukua dawa yoyote tu ukampa. Nenda hospitali kwanza wakupe dawa.
Gundua ni muda gani kikohozi chake na mafua yanahitaji msaada zaidi.
Kukohoa huwa ni kawaida kama kuna kitu kimekukaba kwenye koo. Kukohoa huwa kunaisha baada ya muda, ila sasa kama kukohoa huko kunamfanya mtoto wako asilale usiku, anapa tabu kupumua vizuri au kinamsumbua hapo sasa inabidi uongeze jitihada za kumhudumia. Kama mtoto wako ana umri wa kuanzia mwaka mmoja kijiko kimoja cha chai cha asali kinaweza kumsaidia aache kukohoa na kama ukiona bado hali inaendelea basi mpeleke hospitali wakamuangalie vizuri.

Kupiga chafya
Jaribu kusikiliza jinsi mtoto wako anavyopumua ili ujue ni jinsi gani unaweza kumsaidia. Kupiga chafya mara kwa mara ni dalili pia ya kuonesha kuwa mtoto wako ana mafua, vile vile kutoa mlio kwa mbaali kama anapiga mluzi, hii utamuona tuu mtoto wako anakua hayuko katika hali ya kawaida hatulii anajitingisha tingisha. Hii inaweza kuwa ni dalili ya asthma au mafua, so ukiona mtoto wako anapata tabu ya kupumua, anashindwa kuongea, au anapumua kwa haraka sana kuliko kawaida basi kimbia hospitali mara moja.
Mhudumie muwasho na maumivu mengine.
Yaani mtoto akipatwa na mafua kuna uwezekano wa yeye kupatwa na maumivu mengine kama kichwa kuuma, mwili kuwashwa. Mafua yanaweza kabisa kumfanya mtoto wako ajisikie mwili mzima unauma.
Ili kumsaidia mtoto wako na hili tatizo muulize daktari wako kuhusu dozi ambayo anatakiwa kupewa kulingana na umri wa mtoto wako. Usimpe mtoto wako aspirini hata aspirini za watoto labda daktari wako awe amekuruhusu.
Msaidie mtoto wako apumzike.
Kama mtoto wako ana umri mkubwa wa kuanzia miaka mitano mpaka saba anaweza kuwa anaumwa na bado anataka kwenda kucheza haoni kama anahitaji kutulia. Sasa iko hivi, mtoto wako anaweza kuwa anachoka kwa sababu mwili wake unafanya kazi kubwa sana kujaribu kipigana na ugonjwa unaomsumbua.Sasa kwa kumsaidia atulie ndani apumzike ni njia nzuri ya kuharakisha awahi kupona. Mwambie akae ndani kama ni kusoma vitabu, au kuangalia vipindi vizuri vya watoto kenye TV, hii itamfanya atulie na kumpumzika wakati anauguza ugonjwa wake. Ila sasa ukimuachia akaenda nje kucheza na bado anaumwa na anakunywa dawa, hapo ndipo utaanza kujiuliza kwa nini mtoto haponi na wakati anakunywa dawa kila siku.
Muone Daktari
Hapa ndio huwa kuna utata kwa wazazi wengi. Kwa kuwa sisi tumezoea tukiumwa tunaenda pharmacy na kuchukua dawa tunakunywa maisha yanaendelea. Ila hii tabia ni kitu tofauti kabisa kwa upande wa watoto. Watoto wao wanahitaji kupimwa kwanza ujue ni nini kinamsibu hasa watoto wenye umri wa chini ya miaka 7. Ukimpa mtoto dawa ambazo sio za umri wake huwa zinakuja kuleta madhara baadae.
Haya sasa kama unaona unashindwa kwenda kwa daktari kwanza basi kuwa makini na dawa unazochukua. Hakikisha unachukua dawa ambazo zinaenda kutibu ugonjwa ambao mtoto wako anaumwa, na usichanganye dawa ambazo utengenezaji wake unaendana au unalingana, ndio maana inashauriwa ni bora uende tu kwa daktari upate dawa sahihi maaana unaweza ukamchanganyia madawa hapo galaxy ikaja kuwa balaa.
Pia mtoto alale sehemu safi,mashuka masafi,foronya za mito zifuliwe kila siku.Chumba chake kiwe kisafi kisiwe na vumbi kifanyiwe usafi kila siku.

Thursday, April 21, 2016

10 high cholesterol foods to avoid








When it comes to good cholesterol, our body makes it with the help of correct diet. But when it comes to high cholesterol, you are at a high risk of heart disease and stroke.
We give you a list of high cholesterol foods that you should avoid especially if you care for your health.
Egg yolk: According to healthaliciousness.com, "egg yolks have the most cholesterol of any food with 1234mg per 100 gram serving or 411% of the daily value . A single egg yolk will provide 210mg of cholesterol, while a whole egg provides slightly more with 212mg. Thus all the cholesterol in eggs is found in their yolks." One needs cholesterol in moderation, so if you had an egg in the morning then avoid a bulky cheese burger for your lunch.
Liver: According to healthaliciousness.com, Cholesterol is produced by the hence liver dishes in itself are high on cholesterol. "The liver from most any meat will contain 564mg of cholesterol per 100 grams or 188% of the daily value." According to American Heart Association says no more than 300 mg of cholesterol for a healthy adult. Three ounces of cooked beef liver will give you 331 mg of cholesterol.
Butter: According to healthaliciousness.com, we Indians love butter, its flowing everywhere, on our breads, cakes, parathas and Indian cuisines. "100 grams of butter packs 215mg (72% daily value) of cholesterol and one tablespoon contains 30mg (10% daily value)."
Shrimp: According to healthaliciousness.com, "100 grams of shrimp will contain 195mg (65% daily value) of cholesterol. A single large shrimp contains 11mg (4% daily value) and an ounce of shrimp will provide around 55mg.A few seafoods work great for you but there are few that are loaded with cholesterol. When opting for seafood go for boiled once then fried.
Chicken: Though chicken is a low fat meat option, the way it is cooked makes a lot of difference. One chicken leg with the skin has more fat and cholesterol than a cup of ice cream or a burger. The chicken skin on makes it a high-cholesterol food.
Fast foods: According to healthaliciousness.com, "Fast foods, are packed with cholesterol. A chip, egg, and cheese biscuit will provide 172mg (57% daily value) per 100g serving, or 246mg (82% daily value) of cholesterol per biscuit." Trans fats turns all your snacks and fast foods into a high-cholesterol food. Trans fats are a result of adding hydrogen to vegetable oils, which are then used in many commercial baked goods or fried foods such as cookies, cakes, fries and potato chips.

Cheese: According to healthaliciousness.com, "A vegetarian source of protein, and also a good source of calcium, cheese is a tasty addition to most any dish. Cheese contains the most cholesterol with 123mg (41% daily value) per 100 gram serving. That is 21mg (7% daily value) per one inch cube."
Processed meats: According to healthaliciousness.com, "The amount of cholesterol in any processed meat depends on the cut used, and the amount of fat added during processing. In terms of meats, lamb and duck will contain the most cholesterol all things being equal."
Cheese burger: A big cheese burger has approximately has 175 mg of cholesterol. You might want to hold off fries and the shake, or better yet, order a plain burger instead.
Ice cream: According to everydayhealth.com, "Did you know that a single cup of ice cream has more fat than a hamburger and more cholesterol than 10 glazed doughnuts? Skip the scoop and try a cup of fresh fruit for dessert instead. Fruit is low in calories and high in the fiber, vitamins, and nutrients you really need — making it one of the best things you can eat for lower cholesterol."
For natural health supplements like Heart Savior, that can help you take care of your healthy heart, please visit New Health Corp website at












JIFUNZE NAMNA YA KUENDESHA BIASHARA YAKO HAPA KWA HUYU NDUGU.

KAMA UNA NDOTO YA  # KUJIJIRI  AU KUFANYA  # BIASHARA  USIOGOPE ILA JIFUNZE KIDOGO HAPA! Naitwa Andrea. Na nakutana na watu we...