Monday, May 9, 2016

AGIZO LA MAKONDA (MKUU WA MKOA DAR ES SALAAM) LAGONGA MWANBA.



AGIZO la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda lagonga mwamba baada ya baada ya ombaomba hao kuonekana barabarani wakiomba kama ilivyokuwa kawaid yao.

Ikiwa Mkuu wa Mkoa huyo alitoa agizo kwa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kuwaondoa Ombaomba wote wanaoomba barabarani ifikapo Aprili 18 mwaka huu.Ombaomb ambaye jina lake halikupatikana mara moja


























akiomba msaada kwa wasamalia wema katika barabara ya Bibititi jijini Dar es Salaam. Mremavu wa Mguu akionekana kwenye maungio ya... 

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE NAMNA YA KUENDESHA BIASHARA YAKO HAPA KWA HUYU NDUGU.

KAMA UNA NDOTO YA  # KUJIJIRI  AU KUFANYA  # BIASHARA  USIOGOPE ILA JIFUNZE KIDOGO HAPA! Naitwa Andrea. Na nakutana na watu we...