Maeneo ya Tabata yalivyokua
Mvua zilizonyesha mfululizo katika jiji la Dar es salaam zimeleta maafa makubwa sana kwa wananchi waishio Dar es salaam pia zimeathiri sana Vipato vya walio wengi kwa kushindwa kuendelea na shughuli zao za kila siku baada ya maeneo yao ya kazi kujaa maji.
Biashara za wananchi wa kawaida pia zilisimama
Adha ya Mvua pia iliwatesa sana wananchi walio wengi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE NAMNA YA KUENDESHA BIASHARA YAKO HAPA KWA HUYU NDUGU.
KAMA UNA NDOTO YA # KUJIJIRI AU KUFANYA # BIASHARA USIOGOPE ILA JIFUNZE KIDOGO HAPA! Naitwa Andrea. Na nakutana na watu we...
-
Namna unavyoweza kumsaidia mtoto mwenye mafua. Punguza speed ya kutokwa na makamasi kwanza. Mtoto kuwa na mafua huwa ni kitu cha kaw...
-
Hii ilikua ni asubuhi ya siku ya tarehe 18/12/2017. Kabla ya mkutano wa CCM Dodoma
-
LABORATORY ASSISTANT SKILLS, QUALIFICATIONS AND EXPERIENCED REQUIRED\ - Certificate in Medical Laboratory Technology - Certifica...



No comments:
Post a Comment