Wednesday, May 4, 2016

Dar es Salaam yapinduliwa juu chini.

                                                           Maeneo ya Tabata yalivyokua

Mvua zilizonyesha mfululizo katika jiji la Dar es salaam zimeleta maafa makubwa sana kwa wananchi waishio Dar es salaam pia zimeathiri sana Vipato vya walio wengi kwa kushindwa kuendelea na shughuli zao za kila siku baada ya maeneo yao ya kazi kujaa maji.
                                          Biashara za wananchi wa kawaida pia zilisimama

                           Adha ya Mvua pia iliwatesa sana wananchi walio wengi




No comments:

Post a Comment

JIFUNZE NAMNA YA KUENDESHA BIASHARA YAKO HAPA KWA HUYU NDUGU.

KAMA UNA NDOTO YA  # KUJIJIRI  AU KUFANYA  # BIASHARA  USIOGOPE ILA JIFUNZE KIDOGO HAPA! Naitwa Andrea. Na nakutana na watu we...