Wednesday, May 4, 2016

Je, Unafaham matumizi ya kifaa hiki?









Unaweza ukajiuliza ni kitu gani hiki na kinafanya nini. Hii ni parabolic antenna au dish. Huwa linatafuta satellite lenyewe yaani AUTO TRACK kutokana na setting / configuration zilizofanyika kwenye receiver au kingamuzi chake. Sana hii na maalumu sana kwenye boat au Meli. Uliza hapo kwa kukoment then nitakufafanulia zaid.

Dar es Salaam yapinduliwa juu chini.

                                                           Maeneo ya Tabata yalivyokua

Mvua zilizonyesha mfululizo katika jiji la Dar es salaam zimeleta maafa makubwa sana kwa wananchi waishio Dar es salaam pia zimeathiri sana Vipato vya walio wengi kwa kushindwa kuendelea na shughuli zao za kila siku baada ya maeneo yao ya kazi kujaa maji.
                                          Biashara za wananchi wa kawaida pia zilisimama

                           Adha ya Mvua pia iliwatesa sana wananchi walio wengi




Tuesday, April 26, 2016

Maadhimisho ya Sikukuu ya Muungano, Wafungwa waneemeka.





Rais Dk.John Magufuli ametoa msamaha kwa wafungwa wote kwa kuwapunguzia 1/6 ya vifungo vyao huku wafungwa 3,551 wakifaidika na msamaha huu baada ya kupunguziwa 1/6 ambao kati yao 580 watachiliwa huru na 2,971 wanabaki gerezani wakitumikia sehemu ya kifungo kilichobaki.
Rais Magufuli ametoa msamaha huo ikiwa ni maadhimisho ya miaka 42 ya muungano kwa kutumia madaraka aliyopewa chini ya ibara ya 45(1)(d) ya katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ambao utawahusu wafungwa wagonjwa wenye magonjwa ya ukimwi, kifua kikuu, na kansa ambao wako kwenye hatua za mwisho, wafungwa waliothibitishwa na jopo la waganga chini ya uenyekiti wa mganga mkuu wa mkoa au wilaya.
Wengine ni wafungwa wazee wenye umri wa miaka 70 au zaidi ambao umri huo umethibishwa na jopo la waganga, wafungwa wakike walioingia na mimba gerezani na wale walioingia na watoto wanaonyonya na wasionyonya pamoja na wenye ulemavu wa mwili na akili ambao pia wamethibitishwa na jopo la waganga chini ya uenyekiti wa mganga mkuu wa mkoa au wilaya.
Msamaha huo hautawahusu waliohukumiwa adhabu ya kunyongwa ama kifungo cha maisha, makosa ya kujihusisha na usafirishaji na matumizi ya madawa ya kulevya,uombaji na upokeaji rushwa, unyang’anyi kwa kutumia silaha, makosa ya kupatikana na silaha, risasi na milipuko isiyo halali.
Wengine ni wale wanaokabiliwa na makosa ya shambulio la aibu, ubakaji, kunajisi na kulawiti, wenye makosa ya kuwapa mimba wanafunzi wa shule za msingi na sekondari waliotenda kosa hilo wakiwa na umri wa miaka 18 na kuendelea, wizi wa magari, pikipiki, wanaotumikia kifungo kwa makosa ya kutumia vibaya madaraka yao, waliowahi kupunguziwa kifungo na msamaha wa rais na bado wangali wanaendelea kutumikia sehemu ya kifungo kilichobaki.
Waliohukumiwa kwa kosa la utekaji wa watoto, biashara ya binadamu, kukutwa na viungo vya binadamu pamoja na vitendo vya mashambulizi na ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi – Albino, usafirishaji wa nyara za serikali na ujangili,wizi/ubadhilifu wa fedha za serikali, kujaribu kutoroka wakiwa chini ya ulizi halali na wale walioingia gerezani baada ya tarehe 26/02/2016.

TCRA YAPATIKANA









Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameivunja Bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na kumsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo Dkt. Ally Yahaya Simba kutokana na kutosimamia ipasavyo Mkataba wa utekelezaji wa mfumo wa usimamizi wa mawasiliano ya simu (TTMS), na kusababisha nchi kupoteza mapato ya takriban shilingi bilioni 400 kwa mwaka.
Rais Magufuli amechukua hatua hiyo leo tarehe 26 Aprili, 2016 Ikulu Jijini Dar es salaam baada ya kufanya kikao cha kazi kati yake na viongozi na wataalamu kutoka Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Wizara ya fedha na Mipango na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU).
Tarehe 22 Machi, 2013 Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA) iliingia mkataba na kampuni ya SGS juu ya uwekaji, uendeshaji na uhamishaji wa mapato ya simu ambapo kampuni hiyo ilipaswa kutekeleza vipengele vitano lakini mpaka sasa kampuni ya SGS haijaanza kutekeleza kipengele kidogo kinachohusiana na uthibiti wa mapato ya simu za ndani (Offnet), hali ambayo imesababisha serikali kukosa mapato yanayokadiriwa kuwa shilingi bilioni 400 kwa mwaka.
Pamoja na kuivunja bodi ya TCRA inayoongozwa na Profesa Haji Semboja na Kumsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa TCRA Dkt. Ally Yahaya Simba, Rais Magufuli pia amemuagiza Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa Mnyaa kumteua Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo mara moja.
Aidha, Rais Magufuli amewataka Waziri Prof. Mbarawa, Katibu Mkuu na Naibu Katibu katika wizara hiyo kuchukua hatua mara moja ili mfumo wa ukusanyaji wa mapato ya simu kwa simu za ndani (Offnet) uanze kufanya kazi, na nchi ipate mapato yanayostahili kukusanywa.
“Waziri hakikisha unachukua hatua mara moja, nataka tukusanye mapato yote ya serikali yanayostahili na sitasita kuchukua hatua  dhidi ya yoyote atakayekwamisha jambo hili” Amesisitiza Rais Magufuli.
Gerson MsigwaKaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULUDar es salaam

Thursday, April 21, 2016

10 high cholesterol foods to avoid








When it comes to good cholesterol, our body makes it with the help of correct diet. But when it comes to high cholesterol, you are at a high risk of heart disease and stroke.
We give you a list of high cholesterol foods that you should avoid especially if you care for your health.
Egg yolk: According to healthaliciousness.com, "egg yolks have the most cholesterol of any food with 1234mg per 100 gram serving or 411% of the daily value . A single egg yolk will provide 210mg of cholesterol, while a whole egg provides slightly more with 212mg. Thus all the cholesterol in eggs is found in their yolks." One needs cholesterol in moderation, so if you had an egg in the morning then avoid a bulky cheese burger for your lunch.
Liver: According to healthaliciousness.com, Cholesterol is produced by the hence liver dishes in itself are high on cholesterol. "The liver from most any meat will contain 564mg of cholesterol per 100 grams or 188% of the daily value." According to American Heart Association says no more than 300 mg of cholesterol for a healthy adult. Three ounces of cooked beef liver will give you 331 mg of cholesterol.
Butter: According to healthaliciousness.com, we Indians love butter, its flowing everywhere, on our breads, cakes, parathas and Indian cuisines. "100 grams of butter packs 215mg (72% daily value) of cholesterol and one tablespoon contains 30mg (10% daily value)."
Shrimp: According to healthaliciousness.com, "100 grams of shrimp will contain 195mg (65% daily value) of cholesterol. A single large shrimp contains 11mg (4% daily value) and an ounce of shrimp will provide around 55mg.A few seafoods work great for you but there are few that are loaded with cholesterol. When opting for seafood go for boiled once then fried.
Chicken: Though chicken is a low fat meat option, the way it is cooked makes a lot of difference. One chicken leg with the skin has more fat and cholesterol than a cup of ice cream or a burger. The chicken skin on makes it a high-cholesterol food.
Fast foods: According to healthaliciousness.com, "Fast foods, are packed with cholesterol. A chip, egg, and cheese biscuit will provide 172mg (57% daily value) per 100g serving, or 246mg (82% daily value) of cholesterol per biscuit." Trans fats turns all your snacks and fast foods into a high-cholesterol food. Trans fats are a result of adding hydrogen to vegetable oils, which are then used in many commercial baked goods or fried foods such as cookies, cakes, fries and potato chips.

Cheese: According to healthaliciousness.com, "A vegetarian source of protein, and also a good source of calcium, cheese is a tasty addition to most any dish. Cheese contains the most cholesterol with 123mg (41% daily value) per 100 gram serving. That is 21mg (7% daily value) per one inch cube."
Processed meats: According to healthaliciousness.com, "The amount of cholesterol in any processed meat depends on the cut used, and the amount of fat added during processing. In terms of meats, lamb and duck will contain the most cholesterol all things being equal."
Cheese burger: A big cheese burger has approximately has 175 mg of cholesterol. You might want to hold off fries and the shake, or better yet, order a plain burger instead.
Ice cream: According to everydayhealth.com, "Did you know that a single cup of ice cream has more fat than a hamburger and more cholesterol than 10 glazed doughnuts? Skip the scoop and try a cup of fresh fruit for dessert instead. Fruit is low in calories and high in the fiber, vitamins, and nutrients you really need — making it one of the best things you can eat for lower cholesterol."
For natural health supplements like Heart Savior, that can help you take care of your healthy heart, please visit New Health Corp website at












Friday, April 15, 2016

Sudani kusini yajiunga rasmi JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI




Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir ametia saini mkataba wa nchi yake kujiunga rasmi kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Rais Kiir ametia saini mkataba huo jijini Dar es Salaam mbele ya mwenyeji wake, Rais wa Tanzania John Magufuli, ambaye kwa sasa ndiye mwenyekiti wa jumuiya hiyo.

Viongozi wa nchi za jumuiya hiyo waliidhinisha kukubaliwa kwa Sudan Kusini kujiunga na jumuiya hiyo kwenye mkutano mkuu uliofanyika mjini Arusha mwezi uliopita.

Sudan Kusini itakuwa nchi ya sita kujiunga na jumuiya hiyo iliyoanza kwa nchi tatu Tanzania, Kenya na Uganda. Rwanda na Burundi zilijiunga na jumuiya hiyo baadaye.

Baada ya kujiunga rasmi leo, Sudan Kusini inatarajiwa kufungua mipaka yake kwa ajili ya biashara. Tayari kampuni na asasi nyingi za kifedha kutoka Kenya zimefungua biashara nchini Sudan Kusini.

Wengi wanatarajia hatua ya leo itafungua fursa zaidi za kibiashara kati ya Sudan Kusini na nchi wanachama wa jumuiya.

Wadadisi wengine wanaamini kuwa baadhi ya miradi ambayo Sudan Kusini ingetaka kujumuishwa katika Jumuiya ya Afrika Mashariki ni miundo msingi ikiwemo reli na mabomba ya mafuta.

[​IMG]

ATHARI ZA MAFUTA TUNAYOTUMIA. Soma kwa faida yako


LEHEMU

Lehemu au maararufu kama cholesterol kwa Kiingereza ni aina ya fati kama nta (wax), ambayo huwa kwenye damu ikizunguka sehemu mbalimbali mwilini. Ni sehemu muhimu sana ya kuta za seli za mwili, homoni za mfumo wa uzazi, Vitamini D na kuta za mishipa ya fahamu.
Je, kuna aina ngapi za lehemu?
Lehemu hupatikana kwenye damu kama lipoproteins (muunganiko wa lehemu na protini). Lipoproteins muhimu ni;
  • Very Low Density Lipoprotieins (VLDL)
  • Low density Lipoproteins(LDL) na
  • High Density Lipoproteins (HDL).
VLDL na LDL hubeba lehemu kutoka kwenye ini na kuipeleka kwenye seli mbalimbali kwa ajili ya kazi za mwili. HDL  huondoa lehemu ambayo haijatumika au imezidi kwenye seli za mwili na kuirudisha kwenye ini ili ivunjwevunjwe na kutolewa kama uchafu.
Lehemu  Yenye Athari  Mbaya kwa Afya.
Kama tulivyoona kuna aina tofauti za lehemu kwenye damu, sio zote zina athari mbaya kwa afya. LDL (Low Density Lipoprotein) ni  lehemu mbaya pale inapozidi kwenye damu. HDL (High Density Lipoprotein) huwa haina madhara mabaya pale inapozidi kwenye damu, ila ikipungua zaidi ya kawaida na LDL kuongezeka huleta hatari kwa afya.
Vyanzo Vya Lehemu
Kwa kawaida mwili hupata lehemu kutoka kwenye;
  • Ini ambalo hutengeneza karibu asilimia 75 ya lehemu yote mwilini.
  • Vyakula mbalimbali vya mafuta ambavyo huchangia asilimia 25 ya lehemu.
Vitu vinavyosababiisha mwili kutengeneza lehemu nyingi zaidi ya kawaida.
Lehemu hatari zaidi ni ile inayotengenezwa na ini kuliko ile inayopatikana kwenye chakula. Magonjwa ya kurithi ya utengenezaji wa lehemu na tabia za ulaji vyakula huchangia  ini kutengeneza lehemu nyingi zaidi ya kawaida. Ulaji wa vyakula vya fati ambazo ni saturated na trans saturated huongeza kasi ya ini kutengeneza lehemu. Pia kutofanya mazoezi na uvutaji sigara huchangia lehemu kuongezeka.
Vyakula Vinavyoongeza Lehemu Mwilini
Saturated fats hupatikana hasa kutokana na vyakula vya wanyama kama nyama nyekundu, maziwa (whole milk), siagi, hotdogsna transaturated fats hupatikana  kwenye margarines (kama blueband, kimbo na mafuta mengine ya kuganda), chipsi za kukaanga, keki, biskuti, vyakula vya kukaangwa kwenye makopo.
Unsaturated fats zinapatikana zaidi kwenye mafuta ya mimea kama pamba, alizeti, zeituni (Olive), karanga, mawese, soya, canola,mahindi na maparachichi. Pia samaki wana unsaturated fats aina ya omega-3 na omega-6. Aina hizi za fati husaidia kuongeza HDL kwenye damu ambayo huondoa lehemu inayozidi kwenye seli na mishipa ya damu, hivyo ni vizuri kutumia mafuta ya mimea katika chakula kuliko ya wanyama.
Lehemu ina uhusiano gani na ugonjwa wa moyo?
LDL inapozidi kwenye damu huachia lehemu ambayo huenda kujikusanya ndani ya mishipa ya damu  na ya moyo polepole kitendo kiitwacho atherosclerosis. Hali hii huweza kusababisha mishipa ya damu ya moyo kuziba na hivyo kutokea heart attack kutokana na baadhi ya misuli ya moyo kukosa damu na moyo kushindwa kufanya kazi vizuri.

Lehemu ina uhusiano gani na shinikizo la damu la kupanda (hypertension) na kiharusi (stroke)?
Hali hii ya kujaa kwa lehemu kwenye mishipa ya damu hupunguza ukubwa wa tundu la mishipa ya damu, na hivyo kusababisha damu kupita kwa presha kubwa zaidi. Hali hii huendelea na kusababisha presha ya damu kuongezeka mwili mzima na hivyo kuwa shinikizo la damu la kupanda (hypertension).
Kwenye mishipa ya damu inayoingia kwenye ubongo, lehemu ikijaa huweza kuziba mishipa hiyo au kuchangia ipasuke na hivyo kusababisha kiharusi (stroke).
Nifanye nini kujua kama kiwangi cha lehemu yangu kwenye damu ni cha kawaida?
Ili kuweza kujua kiwango cha lehemu kwenye damu yako, kipimo cha Lipid (lipoprotein) Profile hufanyika hospitalini. Hiki hupima aina za fati kwenye damu yako ikijumuisha kiasi chote cha cholesterol, LDL,HDL na triglycerides (aina nyingine ya fati).
Njia za kupunguza lehemu mwilini.
Lehemu inapozidi kwenye damu inaongeza hatari ya kupata magonjwa ya moyo, shinikizo la damu la kupanda na kiharusi, hivyo ni muhimu kupunguza kiwango cha lehemu kwenye damu. Kuna njia zifuatazo;
  • Kufanya mazoezi
  • Kupunguza vyakula vyenye fati
  • Kula matunda, mboga za majani na nafaka zisizokobolewa zaidi kwenye mlo wako.
  • Kupunguza uzito kama mtu ana uzito mkubwa.
  • Kuacha kuvuta sigara
  • Kupunguza unywaji wa pombe.
  • Kutumia dawa za kupunguza lehemu, dawa hizi huitwa statins. Dawa hizi hutolewa kwa maelekezo ya daktari.

Wednesday, April 13, 2016

JIFUNZE KUJIBU MASWALI KWENYE USAIL/INTERVIEW . Maswali 25 muhimu na majibu yake



The 25 most difficult questions you'll be asked on a job interview
Being prepared is half the battle.

If you are one of those executive types unhappy at your present post and embarking on a New Year's resolution to find a new one, here's a helping hand. The job interview is considered to be the most critical aspect of every expedition that brings you face-to- face with the future boss. One must prepare for it with the same tenacity and quickness as one does for a fencing tournament or a chess match. 

This article has been excerpted from "PARTING COMPANY: How to Survive the Loss of a Job and Find Another Successfully" by William J. Morin and James C. Cabrera. Copyright by Drake Beam Morin, inc. Publised by Harcourt Brace Jovanovich. 

Morin is chairman and Cabrera is president of New York-based Drake Beam Morin, nation's major outplacement firm, which has opened offices in Philadelphia. 

1. Tell me about yourself.

Since this is often the opening question in an interview, be extracareful that you don't run off at the mouth. Keep your answer to a minute or two at most. Cover four topics: early years, education, work history, and recent career experience. Emphasize this last subject. Remember that this is likely to be a warm-up question. Don't waste your best points on it.
2. What do you know about our organization?
You should be able to discuss products or services, revenues, reputation, image, goals, problems, management style, people, history and philosophy. But don't act as if you know everything about the place. Let your answer show that you have taken the time to do some research, but don't overwhelm the interviewer, and make it clear that you wish to learn more.

You might start your answer in this manner: "In my job search, I've investigated a number of companies.

Yours is one of the few that interests me, for these reasons..."

Give your answer a positive tone. Don't say, "Well, everyone tells me that you're in all sorts of trouble, and that's why I'm here", even if that is why you're there.
3. Why do you want to work for us?
The deadliest answer you can give is "Because I like people." What else would you like-animals?

Here, and throughout the interview, a good answer comes from having done your homework so that you can speak in terms of the company's needs. You might say that your research has shown that the company is doing things you would like to be involved with, and that it's doing them in ways that greatly interest you. For example, if the organization is known for strong management, your answer should mention that fact and show that you would like to be a part of that team. If the company places a great deal of emphasis on research and development, emphasize the fact that you want to create new things and that you know this is a place in which such activity is encouraged. If the organization stresses financial controls, your answer should mention a reverence for numbers.

If you feel that you have to concoct an answer to this question - if, for example, the company stresses research, and you feel that you should mention it even though it really doesn't interest you- then you probably should not be taking that interview, because you probably shouldn't be considering a job with that organization.

Your homework should include learning enough about the company to avoid approaching places where you wouldn't be able -or wouldn't want- to function. Since most of us are poor liars, it's difficult to con anyone in an interview. But even if you should succeed at it, your prize is a job you don't really want.
4. What can you do for us that someone else can't?

Here you have every right, and perhaps an obligation, to toot your own horn and be a bit egotistical. Talk about your record of getting things done, and mention specifics from your resume or list of career accomplishments. Say that your skills and interests, combined with this history of getting results, make you valuable. Mention your ability to set priorities, identify problems, and use your experience and energy to solve them.
5. What do you find most attractive about this position? What seems least attractive about it?
List three or four attractive factors of the job, and mention a single, minor, unattractive item.
6. Why should we hire you?

Create your answer by thinking in terms of your ability, your experience, and your energy. (See question 4.)
7. What do you look for in a job?
Keep your answer oriented to opportunities at this organization. Talk about your desire to perform and be recognized for your contributions. Make your answer oriented toward opportunity rather than personal security.
8. Please give me your definition of [the position for which you are being interviewed].

Keep your answer brief and task oriented. Think in in terms of responsibilities and accountability. Make sure that you really do understand what the position involves before you attempt an answer. If you are not certain. ask the interviewer; he or she may answer the question for you.
9. How long would it take you to make a meaningful contribution to our firm?
Be realistic. Say that, while you would expect to meet pressing demands and pull your own weight from the first day, it might take six months to a year before you could expect to know the organization and its needs well enough to make a major contribution.
10. How long would you stay with us?

Say that you are interested in a career with the organization, but admit that you would have to continue to feel challenged to remain with any organization. Think in terms of, "As long as we both feel achievement-oriented."
11. Your resume suggests that you may be over-qualified or too experienced for this position. What's Your opinion?

Emphasize your interest in establishing a long-term association with the organization, and say that you assume that if you perform well in his job, new opportunities will open up for you. Mention that a strong company needs a strong staff. Observe that experienced executives are always at a premium. Suggest that since you are so well qualified, the employer will get a fast return on his investment. Say that a growing, energetic company can never have too much talent.
12. What is your management style?

You should know enough about the company's style to know that your management style will complement it. Possible styles include: task oriented (I'll enjoy problem-solving identifying what's wrong, choosing a solution and implementing it"), results-oriented ("Every management decision I make is determined by how it will affect the bottom line"), or even paternalistic ("I'm committed to taking care of my subordinates and pointing them in the right direction").

A participative style is currently quite popular: an open-door method of managing in which you get things done by motivating people and delegating responsibility.

As you consider this question, think about whether your style will let you work hatppily and effectively within the organization.
13. Are you a good manager? Can you give me some examples? Do you feel that you have top managerial potential?

Keep your answer achievement and ask-oriented. Rely on examples from your career to buttress your argument. Stress your experience and your energy.
14. What do you look for when You hire people?
Think in terms of skills. initiative, and the adaptability to be able to work comfortably and effectively with others. Mention that you like to hire people who appear capable of moving up in the organization.
15. Have you ever had to fire people? What were the reasons, and how did you handle the situation?
Admit that the situation was not easy, but say that it worked out well, both for the company and, you think, for the individual. Show that, like anyone else, you don't enjoy unpleasant tasks but that you can resolve them efficiently and -in the case of firing someone- humanely.
16. What do you think is the most difficult thing about being a manager or executive?

Mention planning, execution, and cost-control. The most difficult task is to motivate and manage employess to get something planned and completed on time and within the budget.
17. What important trends do you see in our industry?

Be prepared with two or three trends that illustrate how well you understand your industry. You might consider technological challenges or opportunities, economic conditions, or even regulatory demands as you collect your thoughts about the direction in which your business is heading.
18. Why are you leaving (did you leave) your present (last) job?
Be brief, to the point, and as honest as you can without hurting yourself. Refer back to the planning phase of your job search. where you considered this topic as you set your reference statements. If you were laid off in an across-the-board cutback, say so; otherwise, indicate that the move was your decision, the result of your action. Do not mention personality conflicts.

The interviewer may spend some time probing you on this issue, particularly if it is clear that you were terminated. The "We agreed to disagree" approach may be useful. Remember hat your references are likely to be checked, so don't concoct a story for an interview.
19. How do you feel about leaving all your benefits to find a new job?
Mention that you are concerned, naturally, but not panicked. You are willing to accept some risk to find the right job for yourself. Don't suggest that security might interest you more than getting the job done successfully.
20. In your current (last) position, what features do (did) you like the most? The least?
Be careful and be positive. Describe more features that you liked than disliked. Don't cite personality problems. If you make your last job sound terrible, an interviewer may wonder why you remained there until now.
21. What do you think of your boss?

Be as positive as you can. A potential boss is likely to wonder if you might talk about him in similar terms at some point in the future.
22. Why aren't you earning more at your age?

Say that this is one reason that you are conducting this job search. Don't be defensive.
23. What do you feel this position should pay?

Salary is a delicate topic. We suggest that you defer tying yourself to a precise figure for as long as you can do so politely. You might say, "I understand that the range for this job is between $______ and $______. That seems appropriate for the job as I understand it." You might answer the question with a question: "Perhaps you can help me on this one. Can you tell me if there is a range for similar jobs in the organization?"

If you are asked the question during an initial screening interview, you might say that you feel you need to know more about the position's responsibilities before you could give a meaningful answer to that question. Here, too, either by asking the interviewer or search executive (if one is involved), or in research done as part of your homework, you can try to find out whether there is a salary grade attached to the job. If there is, and if you can live with it, say that the range seems right to you.

If the interviewer continues to probe, you might say, "You know that I'm making $______ now. Like everyone else, I'd like to improve on that figure, but my major interest is with the job itself." Remember that the act of taking a new job does not, in and of itself, make you worth more money.

If a search firm is involved, your contact there may be able to help with the salary question. He or she may even be able to run interference for you. If, for instance, he tells you what the position pays, and you tell him that you are earning that amount now and would Like to do a bit better, he might go back to the employer and propose that you be offered an additional 10%.

If no price range is attached to the job, and the interviewer continues to press the subject, then you will have to restpond with a number. You cannot leave the impression that it does not really matter, that you'll accept whatever is offered. If you've been making $80,000 a year, you can't say that a $35,000 figure would be fine without sounding as if you've given up on yourself. (If you are making a radical career change, however, this kind of disparity may be more reasonable and understandable.)

Don't sell yourself short, but continue to stress the fact that the job itself is the most important thing in your mind. The interviewer may be trying to determine just how much you want the job. Don't leave the impression that money is the only thing that is important to you. Link questions of salary to the work itself.

But whenever possible, say as little as you can about salary until you reach the "final" stage of the interview process. At that point, you know that the company is genuinely interested in you and that it is likely to be flexible in salary negotiations.
24. What are your long-range goals?

Refer back to the planning phase of your job search. Don't answer, "I want the job you've advertised." Relate your goals to the company you are interviewing: 'in a firm like yours, I would like to..."
25. How successful do you you've been so far?
Say that, all-in-all, you're happy with the way your career has progressed so far. Given the normal ups and downs of life, you feel that you've done quite well and have no complaints.

Present a positive and confident picture of yourself, but don't overstate your case. An answer like, "Everything's wonderful! I can't think of a time when things were going better! I'm overjoyed!" is likely to make an interviewer wonder whether you're trying to fool him . . . or yourself. The most convincing confidence is usually quiet confidence.

YANGA: Tunawasubiri MTIBWA SUGAR

April 13 klabu ya Dar es Salaam Young Africans iliendelea na harakati zake za kumaliza viporo vya mechi za Ligi Kuu soka Tanzania bara, klabu ya Yanga ilikuwa na viporo vitatu ila April 13 2016 imemaliza mchezo wake wa pili wa kiporo dhidi ya klabu ya Mwadui FCya Shinyanga.
Yanga waliingia uwanjani wakiwa wanajua umuhimu wa mchezo dhidi ya Mwadui FC, kwani ilikuwa ni lazima wapate point tatu ili wajiweke katika nafasi nzuri, Yangawalifanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 2-1, magoli ya Yanga yalifungwa na Simon Msuva dakika ya 4 na Haruna Niyonzima dakika ya 87, wakati Mwadui FC waliambulia goli la kufutia machozi kupitia kwa Kelvin Sabato dakika ya 14.

Monday, April 11, 2016

NAFASI ZA KAZI UTUMISHI- Deadline 19th April, 2016

VACANCIES ANNOUNCEMENT

On behalf of Workers Compensation Fund (WCF), The Registration, Insolvency and
Trusteeship Agency (RITA), Public Service Recruitment Secretariat invites qualified
Tanzanians to fill 3 vacant posts in the above Public Institution.

1.0 WORKERS COMPENSATION FUND (WCF)
Workers Compensation Fund is a social security institution established in accordance
with Section 5 of the Workers Compensation Act No. 20 of 2008.It is under Prime
Minister's Office which is responsible for Policy, Parliamentary Affairs, Labour,
Employment, Youth and the Disabled.
The Fund is a contributory social security scheme whose main objective is to pay
compensation benefits as a result of accidents suffered, diseases contracted or deaths
which arise out of and in the course of employment in accordance with relevant
provision of the Workers Compensation Act.



The Fund started its operations on 1st July 2015. All employers in the public and private
sectors in Mainland Tanzania are compulsorily required to contribute to the Fund.

1.1.1 DIRECTOR OF FINANCE, PLANNING AND INVESTMENT – 1 POST
1.1.2 JOB PURPOSE
Oversee matters related to finance, planning and research and investment within the
Fund.
1.1.3 DUTIES AND RESPONSIBILITIES
 Oversee and recommend formulation of policies, regulations and procedures to
guide the administration of finance, planning and investment functions within the
Fund.
 Oversee preparation of financial statements, financial reports and special
analyses.
 Oversee preparation and consolidation of the departmental budgets.
 Recommend and coordinate improvements in automated financial and
management information systems for the Fund.
 Oversee and monitor cash flows and working capital position of the Fund.
 Oversee preparation and implementation of the Fund’s Corporate Plan.
 Oversee implementation of the Corporate Plan and report on performance.
 Oversee development of Investment Policy consistent with the Regulator’s
Guidelines.
 Oversee analysis of investment proposals which are being considered by the
Fund.
 Oversee feasibility studies and appraisals for investment in new areas.
 Coordinate the preparation of the Fund’s annual plans and targets.
 Coordinate and supervise the investment portfolio management, investment risk
management and financial analysis.
 Prepare projects implementation schedules, monitor and report to management
on progress with reference to agreed time frames.
 Prepare and submit performance reports as required by authorities from time to
time.
 Perform any other related duties as may be assigned by the Director General.
1.1.4 QUALIFICATIONS
 Holder of a Master’s Degree in Economics, Statistics, Finance, Business
Administration majoring in Finance or Economics, or Statistics from recognised
Institutions. He must also have CPA (T) or equivalent professional qualifications.
 Must have a working experience of at least seven years, of which at least three
years should be in a managerial position.
 Possess problem solving skills.

2.0 HEAD OF HUMAN RESOURCE MANAGEMENT AND ADMINISTRATION UNIT
– 1 POST
2.1 JOB PURPOSE
Plan, direct, and coordinate human resource management activities of the Fund with a
view to maximize the strategic use of human resources and oversee all human
resources management and administration functions.
2.1.1 DUTIES AND RESPONSIBILITIES
 Oversee the formulation and review of human resource policies, regulations and
procedures and ensure their adherence.
 Advise the management on human resource management issues.
 Oversee preparations of human resources plans.
 Oversee adherence to labour laws and regulations.
 Oversee all industrial relations matters and ensure that the fund is properly
represented when interfacing with internal and external parties on employeerelated
matters.
 Oversee implementation of performance management systems.
 Oversee all human resource functions.
 Oversee employee welfare issues.
 Oversee maintenance of office facilities and estates.
 Administer logistical issues during meetings.
 Prepare and submit performance reports as required by authorities from time to
time.
 Perform any other related duties as may be assigned by the director general.
2.1.2 QUALIFICATIONS
 Holder of a Master’s Degree in Human Resources, Public Administration,
Business Administration or equivalent qualification from a recognized Institution.
 Must have a working experience of at least five years, of which at least two years
should be in a senior position in the relevant field.

3.0 THE REGISTRATION, INSOLVENCY AND TRUSTEESHIP AGENCY (RITA)
The Registration, Insolvency and Trusteeship Agency (RITA) is a semi-autonomous
Government Authority established under the Act of Parliament No. 30 of 1997 following
Government Notice No. 397 of 2nd December, 2005. RITA is responsible for ensuring
effective and efficient Management of Information on key life events, insolvency and
trusteeship services in Tanzania.

3.1 ASSISTANT REGISTRATION OFFICER II- 1 POST
DUTY STATIONS: Mbinga
3.1.1 DUTIES AND RESPONSIBILITIES
 Conduct searches of registered marriages from the register
 Register adoptions in the Adoption Register
 Sort registration data from health institutions.
 Check the correctness of returns of births and deaths.
 Register marriages in the registers.
 Keep records relating to marriage conciliation Board.
 Receive official letters.
 Dispatch certificates to customers.
 Maintain registers of births, deaths, marriages, divorces and adoptions.
 Collect fees in relation to marriages, births, and deaths.
 Prepare and keep indices of marriages, births and deaths in the District.
 Prepare advertisements in Government Gazette on issues relating to
administration of estates.
 Keep records of Government Gazette and other regulations.
 Keep court register/ diary and remind relevant Attorney.
 Collect house rents for deceased estates.
3.1.2 QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE
 Holder of Diploma in Law, with excellent communication skills, and computer
literacy.
3.1.3 REMUNARATION
 According to Tanzania Government Scale TGS C

GENERAL CONDITIONS
i. All applicants must be Citizens of Tanzania and not above 45 years old, however,
should also observe the age limit for each position where indicated.
ii. Applicants must attach an up-to-date current Curriculum Vitae (CV) having reliable
contact, postal address, e-mail and telephone numbers.
iii. Applicants should apply on the strength of the information given in this advertisement.
iv. Applicants must attach their detailed relevant certified copies of academic certificates:
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma/Certificates.
- Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Diploma transcripts.
- Form IV and Form VI National Examination Certificates.
- Computer Certificate
- Professional certificates from respective boards
v. FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS ARE STRICTLY NOT ACCEPTED
vi. Testimonials, Partial transcripts and results slips will not be accepted.
vii. Presentation of forged academic certificates and other information in the CV will
necessitate to legal action
viii. Applicants employed in the public service should route their application letters
through their respective employers.
ix. Applicants who have/were retired from the Public Service for whatever reason should
not apply.
x. Applicants should indicate three reputable referees with their reliable contacts.
xi. Certificates from foreign examination bodies for ordinary or advanced level
education should be certified by The National Examination Council of Tanzania
(NECTA)
xii. Certificates from foreign Universities should be verified by The Tanzania
Commission for Universities (TCU)
xiii.The attachments shall include one recent passport size photos; certified copies
of academic certificates, transcripts and the applicant’s birth certificate.
xiv. Deadline for application is 19th April, 2016
xv. Applicants with special needs/case (disability) are supposed to indicate
xvi. Women are highly encouraged to apply
xvii. Only short listed candidates will be informed on a date for interview
xviii. Application letters should be written in Swahili or English
i. All applications must be sent through Recruitment Portal by using the
following address; http://portal.ajira.go.tz/ (This address can also be
found at PSRS Website, Click ‘Recruitment Portal’)
ii.IMPORTANT: REMEMBER TO ATTACH YOUR APPLICATION LETTER. IT
SHOULD BE ADDRESSED TO: THE SECRETARY, PRESIDENTS OFFICE PUBLIC
SERVICE RECRUITMENT SECRETARIET, P.O.BOX 63100, DAR ES SALAAM.

Sababu zilizoondoa Ukuu wa Mkoa wa Anne Kilango Malecela

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Anne Kilango Malecela na Katibu Tawala wa Mkoa huo Abdul Rashid Dachi, kufuatia mkoa huo kutoa taarifa zisizo sahihi kuwa hauna watumishi hewa.
Anne Kilango Malecela
Rais Magufuli ametangaza kutengua uteuzi wa Viongozi hao wa Mkoa wa Shinyanga leo April 11 2016 Ikulu Jijini Dar es salaam, mara baada ya kupokea Taarifa ya Mwaka 2014/2015 ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), na kupokea hundi kifani ya Bilioni 6 kutoka Ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania zilizotokana na kubana matumizi.
Rais Magufuli ameeleza kuwa baada ya kupata taarifa kuwa Mkoa wa Shinyanga hauna watumishi hewa, aliamua kutuma timu ya ukaguzi iliyokwenda kufanya uchunguzi ambapo hadi kufikia jana Aprili, 10 2016 imebaini kuwepo watumishi hewa 45 huku zoezi likiwa linaendelea katika wilaya mbili za Ushetu na Shinyanga Vijijini.
Rais Magufuli amesema baada ya kutengua uteuzi wake, Anne Kilango Malecela atapangiwa kazi nyingine.
Pamoja na hatua hiyo, Rais Magufuli ametaka wakuu wa mikoa yote wawafichue watumishi hewa wote ili waondolewe mara moja, na ameagiza timu iliyofanya uchunguzi Mkoani Shinyanga itumike kufanya uchunguzi katika mikoa mingine kwa lengo la kukomesha upotevu mkubwa wa fedha za umma.
Katikati ya Mwezi Machi, 2016 Rais Magufuli aliwaagiza wakuu wa mikoa yote nchini kusimamia zoezi la kuwaondoa watumishi hewa wote katika orodha ya malipo ya mshahara, ambapo mpaka tarehe 31 Machi, 2016 Jumla watumishi hewa 5,507 walibanika.
Kati ya shilingi Bilioni 583 ambazo serikali imekuwa ikitumia kila mwezi kwa ajili kulipa mishahara, kati ya shilingi Bilioni 53 na 54 zimekuwa zikipotea kutokana na kulipa mishahara ya watumishi hewa.

JIFUNZE NAMNA YA KUENDESHA BIASHARA YAKO HAPA KWA HUYU NDUGU.

KAMA UNA NDOTO YA  # KUJIJIRI  AU KUFANYA  # BIASHARA  USIOGOPE ILA JIFUNZE KIDOGO HAPA! Naitwa Andrea. Na nakutana na watu we...